Numbers 30:1-2

Nadhiri

1 aMose akawaambia viongozi wa makabila ya Israeli: “Hili ndilo Bwana analoagiza: 2 bMwanaume awekapo nadhiri kwa Bwana, au anapoapa kujifunga kwa ahadi, kamwe asitangue neno lake, bali ni lazima afanye kila kitu alichosema.

Copyright information for SwhNEN